Showing posts with label beba mikononi... Show all posts
Showing posts with label beba mikononi... Show all posts

Thursday, 26 November 2015

Beba mikononi

Stanza one.
Tusimame  ndugu  (leo) twende  kwake
Bwana  (kweli) tusisite  ndugu  (leo) amka  twende  hima *2
Beba  mikononi  uliyojaliwa, Peleka  kwa  Bwana, upate  Baraka. *2

Stanza  two
Sadaka  na fedha (kweli) fedha  Za mifuko (ndugu)  amka  upeleke  (leo) mezani  kwa  Bwana. *2

Stanza three.
Mavuno  mifugo  yote  ni  Mali  ya  Bwana  (kweli) tupeleke  kwake  (leo) atazipokea. *2
.
Stanza  four.
Mkate  divai  (leo) tupeleke  kwake  (leo,),
Tupate  Baraka  (kweli) mbele  zake  Bwana. *2

Stanza  five..
Twende  ndugu  twende  (sote)mbele  zake  Bwana  (Mungu) tupelo nafsi  (leo) zetu  kwake  Bwana. *2