Monday 7 March 2016

UMETENDA MEMA LYRICS BY KAMBUA

UMETENDA MEMA Lyrics by Kambua

Nakushukuru wewee, nakutukuza wewe Umenitendea mambo ya ajaabu
Mimi nisemeje, ili nikushukuru
Nasema ewe mungu, umenitendea

(CHORUS)
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba
Wimbo wa moyo wangu,
na nafsi yangu yote
Yasema ewe mungu,
umenitendea Maisha yangu yote,
nakutolea wewe Kwa maana ewee baba, umenitendea

(CHORUS)

No comments:

Post a Comment