Friday 11 March 2016

ONGOZA HATUA ZANGU lyrics by Christina shusho

ONGOZA HATUA ZANGU lyrics by Christina shusho

Hatua za mwenye haki,
za ongozwa naye bwana
Na bwana hufurahia njia zake
wakati wote ×2

Nakukabidhi bwana, njia zangu zote
pia nakutumaini najua bwana utafanya Ata nijapo jikwaa,
sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza ×2

Umwangazie mtumishi wako,
uso wako Maana ninayatamani,
maagizo yako Elekeza hatua zangu,
kwa neno lako Uovu usije ukanimiliki ×2

Eeh bwana naomba Ongoza hatua zangu eeh bwana
Eeh bwana
ongoza mwendo wangu
Eeh bwana eeh bwana ×9

No comments:

Post a Comment