Monday 7 March 2016

UNATOSHA LYRICS BY EUNICE NJERI

UNATOSHA Lyrics by Eunice Njeri

Nimeubeba msalaba wangu,
nikufuate wewe uliyenipenda
Nimeitua mizingo yangu kwako, nakufwata wewe unayenipenda ×2

(CHORUS)
Bwana unatosha Wanitoshaa...
Mungu wa agano Wewe wanitosha ×2

Nasalimu amri yako eeeh baba
Sauti yako nimeisikia

Umenivuta bwana karibu na wewe
Karibu zaidi natamani niwe ×2

(CHORUS)

Moyo wangu usawa sioni ovu Wanitosheleza wanitosha...
Mwingine mie sina, wewe wanitosha Wanitoshaaa wanitoshaa..

No comments:

Post a Comment