Monday 7 March 2016

NIACHE NIIMBE LYRICS BY PITSON

NIACHE NIIMBE Lyrics by pitson

Siku moja mama nitakujengea nyumba ya kifahari
Uishi poa mama na pesa za mziki

Siku moja baba nitakununulia gari la kifahari
Uendeshe baba na pesa za mziki

Siku moja dada nitakulipia karo ya shule Uende university na pesa za mziki

Siku moja brother nitakufungulia biashara kubwa
Uwe sonko brother na pesa za mziki

(CHORUS)
Ikiwa nitakuwa rubani, niendeshe ndege Niwe rubani, rubani anaimba

Ikiwa nitakuwa karani, karani wa benki Niwe karani, karani anaimba

Ikiwa nitakuwa waziri, waziri wa serikali Niwe waziri, waziri anaimba

Oooh popote niendapo, chochote nifanyacho Yeyote nitakuwa niwe naimba

Mama na baba naomba mniache niimbe Niache niimbe
Shule nitaenda lakini mniache niimbe

Kazi nitafanya lakini mniache niimbe
Niache  niimbe

Mimi naahidi kuwa nitaimba nyimbo za injili Mungu ni mwaminifu ×4

Hakuna anaweza sema hajapewa kitu cha kufanya
Mungu ni mwaminifu

Wengine wanauza nguo gikosh
Wengine wanashona,
wengine wamekonda wanakimbia
Ma-bouncer wameshona
Wengine ma odijo -polisi -CEO- Ma hustler (chorus)

No comments:

Post a Comment