Showing posts with label aulaye Mwili wangu.. Show all posts
Showing posts with label aulaye Mwili wangu.. Show all posts

Thursday, 26 November 2015

Aulaye Mwili wangu


Aulaye  Mwili  wangu  na  kuinywa  damu  yangu  (asema  Bwana) hukaa  ndani  yangu  Nami  hukaa  ndani  yake.

Stanza  one :
Aulaye  Mwili  wangu  na kuinywa damu yangu anauzima  WA  milele.

Stanza  two :
Njooni  enyi  wenye  njaa, njooni  enyi  wenye  kiu, njooni  kwangu  niwashibishe.

Stanza  three :
Mlapo  chakula  hiki. Munywapo  kikombe  hiki
Mwatangaza  kifo  chake  Bwana.

Stanza  four :
Aniaminiyee mimi, na kushika niyasemayo, nitamfufua  siku  ya  mwisho.