Showing posts with label amenitia mafuta. Show all posts
Showing posts with label amenitia mafuta. Show all posts

Thursday, 26 November 2015

Amenitia mafuta

Roho  wake  Bwana  Mungu  wetu  yu  Juu
Yangu, amenitia  mafuta  kuwahubiria  wanyenyekevu Habari  naeza. *2

Stanza  one ;
Amenituma  ili  kuwaganga  waliovunjika  moyo.
Stanza  two :
Uhuru  kwa mateka  Tena  wamiofungwa  wafunguliwe.

Stanza  three..
Kushangaa mwaka  wake  Bwana,  Mungu  uliokubaliwa.

Stanza  four.
Kuwatangazia  wote  siku  ya  kizazi  change Mungu  wetu.