Showing posts with label UTUKUFU Amecea. Show all posts
Showing posts with label UTUKUFU Amecea. Show all posts

Thursday, 26 November 2015

UTUKUFU.. AMECEA

Stanza one.
Utukufu kwa  Mungu  Juu  mbinguni, na
Amani   kote duniani(kwa watu) wenye 
Mapenzi  mema.

Chorus :
Tunakusifu  Baba  tunakuheshimu, twakuabudu
sisi  tunakutukuza. *2

Stanza two :
Twashukuru  Mungu  kwa  'tukufu_
Wako  mkuu  ewe  Mungu  mfalme (eeh Baba)
WA Mbingu  yetu.

Stanza  three :
Bwana  wetu  mwokozi  Yesu  Kristu_
Mwana  wa  pekee wake
Mungu  (aliye) mwanakondoo wa  Mungu.

Stanza  four :
Unayeziondoa dhambi  zote _Za dunia
Utuhurumie (pokea) pokea  ombi  letu.

Stanza  five ;
Wewe  unaye keti kuume _kwake  Baba
Utuhurumie  (sikia) ombi  letu.

Stanza  six.
Kwani  pekee  yako  ndiwe  Bwana_peke
Yao  mkuu  na mkombozi (pekee) pekee 
Yesu  Kristu.

Stanza  seven.
Kwa umoja  wa  roho  mtakatifu_ndani
Yake  Baba. Watukuzwe (eeh  Yesu) milele   na  milele.