Monday, 7 March 2016

WAKO MWANA LYRICS BY MERCY MASIKA

Mwema  lyrics

Wako mwana ukamtumaaa duniani
Kisa na maana Nipate uzima jamani ×2

Ishara kwamba unanipenda Hivyo nshaelewa sifa nitakupa zaidi×2

(CHORUS)

Nasiwezi jizuia Kusema wako wema nasio kama Najigamba umenitenda mema ×2

Umekuwa mwema kwangu
Umenitoa gizanii...
Nlipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaniii,kwako nkajificha
Sasa nitakupa niniii... Iwe sawa na yale umetenda
Hakuna ila moyoniii Sifa nitakuimbia

Ilikugarimu msalambani unifieee
Hivyo inanibidi, sifa nikuimbie Eeeeeh Wema wako niseme Ili na wengine wakujue
Wote waungane nami Na wazee ishirini na nne

(CHORUS)

(WACHA NIRINGE)
Umekuwa mwema kwanguu
Oooh Yahweh oooh kwanguu
Oooh umenitendea àaaah
Kwanguu eeeeh (CHORUS)

NIMEPANDA NIMESHUKA LYRICS

AFADHALI YESU

Nimepanda, nimeshuka Milima mabonde na mito nimevuka
Nimeosa, nimesota, nimekosa mpaka mpaka nimekopa
Nimeamini binadamu... Ole wangu roho wakanivunja
Niliambiwa nikakana,mimi mwenyewe nimekuja on
Tunachodhamini hakitufai Tufurahiii ooh najiuliza furaha yangu ni nani????

(CHORUS)
Afadhali yesu aaah Afadhali ye aliye na yesu ×4
Nimesakasaka mali saana
Nikipatapata bado nataka more

Nimesakasaka pesa saana Nikipatapata bado nataka more
Makosa yangu na dhambi zangu
Matendo yangu yale ninajuta
Umechukua umeondoa Ulisema hutayakumbuka

SEND FORTH LYRICS BY SIZE 8

SEND FORTH lyrics by size 8

"Lord we need you"
"Father we need you"
Show us  the way Lord
Direct us Lord

Send forth your light,
your truth Let them guide me,
let them lead me to your holy mountain To the place where you dwell
ooh Lord Then I will go to the alter of God ×2

To God, my joy, my delight I will praise you Lord ×2

Praise you with my harp
Praise you with my heart
Praise you with my voice
Praise you with dancing and singing ×2

Hallelujah Hallelujah
Hallelujah Praise to the holy one

YUKO NA WEWE LYRICS BY SIZE 8

YUKO NA WEWE

This one for you... moyoni waumia

This one for you... kila mara walia

He will never leave you
He will never forsake you
He will never leave you believe it
when I say ×2

(CHORUS)
Yuko na wewe.. yuko na wewe
Futa machozi yesu yuko na weweee ×2

Nikiangalia vizuri Uko nyumbani pekee yako
Kila kitu kilienda mrama
Nikama wanakuchukia,
unaona ni vizuuri
Ukichukua maisha yako
Izo zote ni uwongo wa shetani
Neno lake bwana lasemaa

(CHORUS)
Amkaa furahia Kwani yesu amekuondoa milele
Rukaaa sherekea Kwani kwake kuna amani tele
Usijalishwe na za dunia Kwani kwa yesu unayo yote
Usiskize uwongo wa shetani
Neno lake bwana lasemaa

(CHORUS)

UMETENDA MEMA LYRICS BY KAMBUA

UMETENDA MEMA Lyrics by Kambua

Nakushukuru wewee, nakutukuza wewe Umenitendea mambo ya ajaabu
Mimi nisemeje, ili nikushukuru
Nasema ewe mungu, umenitendea

(CHORUS)
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba
Wimbo wa moyo wangu,
na nafsi yangu yote
Yasema ewe mungu,
umenitendea Maisha yangu yote,
nakutolea wewe Kwa maana ewee baba, umenitendea

(CHORUS)

NANGOJA LYRICS BY EUNICE NJERI

NANGOJA lyrics by Eunice Njeri
Nangoja, nakungoja bwanaa natulia,
najua upo Nibadilishe uniokoeee....

naomba Ewe bwana nakuinulia nafsi yangu
Mungu wangu naona kiu nijaze Ewe bwana

nijulishe mimi njia zako
Niongoze kwa roho na kweli
naomba Niumbie moyo safi na tena unibariki
Nangoja miguuni pako mimi nangoja

(CHORUS)
Ewe bwana kumbuka rehema zako Mungu wangu kumbuka fadhili zako Nisamehe kwa jina lako Yahweh naomba Niwe mwema siri zako nijue baba
Niumbie moyo safi nihusishe tena
Nibariki mimi nangoja

(CHORUS)

NIMEKUBALI LYRICS BY EUNICE NJERI

NIMEKUBALI lyrics by Eunice Njeri

(CHORUS)
Nimekubali nasema ndio Bwana ,
kwako ni salama nasema ndio

Nimekubali nasema ndio Bwana,
najitoa dhabihu iliyo hai Bwana nitumie

Bwana anatafta watakaomwabudu kwa roho na kweli
Na wakati ndio huu naamini umefika

Nisaidie kutenda kulingana mapenzi yako Kutembea na maagizo yako moyoni mwangu ×2

(CHORUS)

Mimi ni chombo mikononi mwako Yahweh Tena ni udongo na wewe mfinyazi Baba, nifinyange; nitengeneze
Uishe nafsi yangu
chochote utakacho mimi nitatenda ×2

(CHORUS)
Oooh niumbie, niumbie moyo safi,
ili niweze kukutukuza Bwana
nitengeneze kwa ajili ya jina lako
Baba Wala usinitenganishe na uwepo wako
Mimi Bwana eeeh nimekubali
njia zako baba
Nasema ndio kwako baba

(CHORUS)