Thursday 26 November 2015

RUDISHENI TALANTA

Stanza  one.
Rudisheni  talanta  zetu.. Rudisheni  talanta  zetu kwa  Bwana... Kama wale wawili  walivyorudishay talanta  mbili na tano  faida

Stanza  two.
Ukificha  talanta  utanyang'anywa  na kupewa  yule aliyeleta  na faida.

Stanza  three.
Unafanya hesabu  na Mungu  wako  kwa  zile  talanta  mrudishe  na  faida .

No comments:

Post a Comment