Thursday 26 November 2015

Naondoka Mimi

Naondoka  Mimi  naenda  kwa baba,  nipeleke  hiki  nilichokipata,
Japo kidogo sijaona haha, nimekua sitarudi  nyuma. 

   Chorus :
.nakuja  polepole  mimi  nakuja  na zawadi  (yangu)
Naletaa  mbele  zako  Ili  nitoe  shukurani.

Stanza  two :
Natembea  mimi mwendo  WA  madaha, nakanyanyanga  Chini  kwa maringo  Tele, naelekea  altari  ya  Bwana  nimkabidhi  nilichojaliwa.

Stanza  three :
Nimechangamka ninamshangilia, napiga  kelele, kelele  Za  shangwe, nacheza  cheka najongea  kwako , we Mungu , eh  Mungu  Baba  nipokee  mimi.

Stanza  four :
Nafsi  yangu  mimi  naileta  kwako, mkate divas, pia  ninaleta, uigeuze  mwili  na damu  ya  chakula chetu tunaosafiri.

Stanza  five :
Mavuno  shambani  mimi  nimevuna, mifukoni  fedha nimebarikiwa.
Mimi ni Nani  nisishukuru.,  Baba  nasema  Asante  kwa  yote..

No comments:

Post a Comment