Thursday 26 November 2015

Ndugu wasahau?

{sikiliza  ndugu nikueleze} kwani  umekuwa  ukimaliza, ([nafanya  kazi  zangu  kwa  nguvu  zipi] (kwani  hujui, Mungu ndiye, mwenye  kutupa  talanta mbalimbali ili  tumtumikie) *2

1a) kwa wimbo  wangu, ninamsifu,
Mwenyezi  Mungu  aliyeniumba..

B) hata  additional, wakinisomba, staiacha  kazi  yake  Mungu.

. 2a)nitahubiri , neno  la  haki, niyajulishe
Mataifa  yote.

B) haki  kwa  wote, walo  wanyonge,
Wasio  na nafasi  kwa  jamii.

3a)Niyahubiri , matendo  yako, Dunia 
Nzima  ikugeukie
B) Niyajalie  nguvu  na uwezo,
Nikuimbie  ewe  Mungu  wangu.

4a)unipe  roho, ya  kuwapenda, rafiki
Zangu  na  adui zangu.

B) Tupe  Amani, pia umoja,
Tukutukuze  maishani  mwetu.

No comments:

Post a Comment